MAWAZIRI WA EURO KUKUTANA LEO MJINI BRUSSELS
0
Mawaziri wa eneo la sarafu ya euro wanakutana leo huku kukiwa na hali ya mtafaruku kuhusu Ugiriki pamoja na hali ya wasi wasi mkubwa kuhusiana na hali ya mabenki nchini Hispania ikiwa eneo hilo likifikia mwisho wa ufa wa mzozo wa madeni.
Mawaziri wa mataifa 17 wanachama wa umoja wa sarafu ya euro watakutana mjini Brussels leo, kwa lengo la kutoa ujumbe mkali kwa vyama vinavyohasimiana nchini Ugiriki kuwa nchi hiyo inayokabiliwa na madeni inapaswa kuheshimu masharti yaliyowekwa mwezi March kuhusiana na makubaliano ya mpango wa uokozi wa uchumi.
Wataalamu mbali mbali na wadadisi pamoja na washirika wa kisiasa wa umoja wa Ulaya wanaona njia nyingine ya kulishughulikia suala la Ugiriki ni kwa nchi hiyo kujitoa katika sarafu ya euro.
Mawaziri wa mataifa 17 wanachama wa umoja wa sarafu ya euro watakutana mjini Brussels leo, kwa lengo la kutoa ujumbe mkali kwa vyama vinavyohasimiana nchini Ugiriki kuwa nchi hiyo inayokabiliwa na madeni inapaswa kuheshimu masharti yaliyowekwa mwezi March kuhusiana na makubaliano ya mpango wa uokozi wa uchumi.
Wataalamu mbali mbali na wadadisi pamoja na washirika wa kisiasa wa umoja wa Ulaya wanaona njia nyingine ya kulishughulikia suala la Ugiriki ni kwa nchi hiyo kujitoa katika sarafu ya euro.