0
HEBU MSIUMIZE VICHWA VYENU KUFUATILIA MAISHA YA WATU ETI KALA NINI,ATAOLEWA LINI ATAZAA NA NANI? HAMUACHIIIIIIIIIIIIIII
Nimekaa sana nikawafikiria waja wanaoendekeza majungu kama mtaji na kufatilia maisha ya watu,jamani kila mtu na maisha yake kama wewe unaona dill kuolewa au kuoa wengine hawapendi,kama wewe unapenda kujirusha kila kiwanja wengine hawapendi kwa hivyo msipende kuwalazimisha watu waishi vile nyie mnataka.
KIROHO SAFIIIIII nawambia angalieni ustaarabu wenu haramu yako halali ya mwenzako,Rohoni mmeathirika kwa roho zenu mbaya muache kupaparika tazameni yalo yenu yangu hayawahusu wala hayawasaidiii.siachi nilipopashika hata mmwage sumu ,wasabasi kazi kwenu rohoni mimi naburudika mnajipa tabu wenzangu naringa kwa bahati yangu kipato changu si chenu.kazii kwenu.
ANGALIENI YANAYOWAHUSU MSIANGALIE YANGU COZ HAYATAWASAIDIA NA SITAKI HURUMA ZA MAMBA ,
Nimekaa sana nikawafikiria waja wanaoendekeza majungu kama mtaji na kufatilia maisha ya watu,jamani kila mtu na maisha yake kama wewe unaona dill kuolewa au kuoa wengine hawapendi,kama wewe unapenda kujirusha kila kiwanja wengine hawapendi kwa hivyo msipende kuwalazimisha watu waishi vile nyie mnataka.
KIROHO SAFIIIIII nawambia angalieni ustaarabu wenu haramu yako halali ya mwenzako,Rohoni mmeathirika kwa roho zenu mbaya muache kupaparika tazameni yalo yenu yangu hayawahusu wala hayawasaidiii.siachi nilipopashika hata mmwage sumu ,wasabasi kazi kwenu rohoni mimi naburudika mnajipa tabu wenzangu naringa kwa bahati yangu kipato changu si chenu.kazii kwenu.
ANGALIENI YANAYOWAHUSU MSIANGALIE YANGU COZ HAYATAWASAIDIA NA SITAKI HURUMA ZA MAMBA ,