Dah ilikuwa kama ndoto hv kwa wanayanga hahahahhhaahahah dah lakini ndo hivyo tena kitu mnyama kilitawa karibu dakika zote za mchezo na baaad ya hapo mwanangu 5-0
Mimi ni mtangazaji wa Radio one ,pata nafasi nzuri ya kunisikiliza katika vipindi tofauti tofauti vya redio one.Maisha yangu binafsi napenda sana kufurahi ,kukosolewa,kuelimishwa,Sipendi majungu ,umbeya na watu wenye chuki binafsi.Napenda kusikiliza music,kuimba,kuogelea ingawa sijui saana